Lyrics

Mapenzi yetu yamekuwa ni hasara Rosa
Mganga aliyekupa dawa ni adui yangu mama
Penzi ulilotaka si penzi mwenzangu eeh
Dawa aliyokupa ni sumu mwenzangu eeh
Hivyo ndivyo ulivyotaka toa roho yangu
Nini ulichokosa kutaka kuniua Rosa?
Nilikuwa ninakupa mshahara wangu wote
Hio haikutosha mpaka wanitesa Rosa

Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa Mama
(acha ubaya Rosa).

Lyrics continue below...

Don't want to see ads? Upgrade Now

Mapenzi yetu yamekuwa ni hasara Rosa
Mganga aliyekupa dawa ni adui yangu mama
Penzi ulilotaka si penzi mwenzangu eeh
Dawa aliyokupa ni sumu mwenzangu eeh
Hivyo ndivyo ulivyotaka toa roho yangu
Nini ulichokosa kutaka kuniua Rosa?
Nilikuwa ninakupa mshahara wangu wote
Hio haikutosha mpaka wanitesa Rosa

Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa Mama (he he he)

(Ndio ndio ndio ndio...)
(Rosa acha kuniua mama
Watu wanataka kusikia saboso ya mwaka 73
Kweli kweli kweli Rosa mbaya
wacha uchawi)
(Rosaaa)
(He he eheee Rosa Maamaa)

Mapenzi yetu yamekuwa ni hasara Rosa
Mganga aliyekupa dawa ni adui yangu mama
Penzi ulilotaka si penzi mwenzangu eeh
Dawa aliyokupa ni sumu mwenzangu eeh
Hivyo ndivyo ulivyotaka toa roho yangu
Nini ulichokosa kutaka kuniua Rosa?
Nilikuwa ninakupa mshahara wangu wote
Hio haikutosha mpaka wanitesa Rosa

Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa, Eeh Rosa Mama

Writer(s): Hicham Khatir

Don't want to see ads? Upgrade Now

Similar Tracks

API Calls

Scrobble from Spotify?

Connect your Spotify account to your Last.fm account and scrobble everything you listen to, from any Spotify app on any device or platform.

Connect to Spotify

Dismiss